Uncategorized

ELIMU ILIVYO ONGEZA TAKWIMU ZA MATUKIO YA UKATILI ARUSHA

Kwa mujibu wa takwimu za utafiti wa masuala ya ukatili wa kijinsia za mwaka 2022/23 zinaonesha kwamba bado ziko juu sana katika Mkoa wa Arusha kutokana na kuwa na idadi kubwa ya ripoti za matukio ya ukatili. Je, hii inamaana kwamba Elimu imeifikia jamii sawa sawa Ama Elimu haijawafikia sawa sawa wananchi? Bwn. Denis Mgiye […]

ELIMU ILIVYO ONGEZA TAKWIMU ZA MATUKIO YA UKATILI ARUSHA Read More »

WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII YAZITAJA NGUZO 5 ZA AJENDA YA NAIA.

Wizara ya Maendeleo ya Jamii,Jinsia , wanawake na makundi maalum imebainisha Nguzo kuu 5 za Ajenda jumuishi iliyoandaliwa kutatua changamoto ya upatikanaji wa huduma rafiki za afya na kuondoa vikwazo vya maendeleo kwa vijana balehe nchini wenye miaka 10 – 19 Tafiti zinaonesha vijana balehe wanakabiliwa na changamoto kadhaa, ikiwemo maambukizi makubwa ya VVU, mimba

WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII YAZITAJA NGUZO 5 ZA AJENDA YA NAIA. Read More »

MADAWATI YA JINSIA YUNDWA SHULENI KUKOMESHA UKATILI.

Kufuatia ongezeko la vitendo vya ukatili kushamili zaidi shuleni serikali kwa kushirikiana na wadau mbalimbali wamekutana jijini mbeya ili kuboresha mifumo ya kukupinga ukatili ikiwa ni pamoja na kuunda madawati ya jinsia katika shule za jiji hilo ili kukomesha ongezeko kubwa la vitendo hivyo kwa wanafunzi na kuwafanya waweze kutimiza ama kuzifikia ndaoto zao kwa

MADAWATI YA JINSIA YUNDWA SHULENI KUKOMESHA UKATILI. Read More »

SHIRIKA LA DSW LIMEGAWA VIFAA VYENYE THAMANI YA ZAIDI YA MIL.27 SHULE ZA MBEYA

Shirika la lisilo la kiserikali Duestche Stiftung Weltbevolkelung (DSW) lime gawa vifaa mbali mbali vya Michezo,vipaza sauti,na Televisheni vyenye thamni ya Zaidi ya Milioni 27 Kwa shule za Jiji la Mbeya na Halmashauri ya Wilaya ya Mbeya. Akizungumza wakati wakati wa ugawaji wa vifaa hivyo mkurugenzi wa shirika hilo Ndugu. Peter Waga amesema lengo la

SHIRIKA LA DSW LIMEGAWA VIFAA VYENYE THAMANI YA ZAIDI YA MIL.27 SHULE ZA MBEYA Read More »

JUKWAA LA WANAWAKE WA VIJIJINI WAPAZA SAUTI MWANAMKE KUTOMILIKI ARDHI.

Jukwaa lawanawake wa vijijini (RWA) wamepaza sauti kwa jamii na wadau kuwasaidia wanawake wa vijijini wananvyo nyimwa nafasi ya kumiliki Ardhi kitendo ambacho ni kinyume na haki za kibinadamu,Jinsia na Usawa.Akizungumza wakati wa kuandaa mpango kazi wa uzinduzi wa kampeni ya MWANAMKE KUPEWA NAFASI YA UMILIKI ARDHI Mkurugenzi wa shirika la (MIICO) Bi. Catherine Mulaga

JUKWAA LA WANAWAKE WA VIJIJINI WAPAZA SAUTI MWANAMKE KUTOMILIKI ARDHI. Read More »

ASILI YA VALENTINE’s DAY

Siku ya wapendanao ni sikukuu ambayo huadhimishwa kila ifikapo tarehe 14 Februari ya kila mwaka (Valentine’s Day).Historia yake imeanzia karne ya 3 huko Roma ambapo alikuwapo Padri Valentine ambaye akaja kuheshimiwa kama mtakatifu hasa tarehe hiyo.Hadithi zilizosababisha sikukuu kuenea zaidi duniani kote. Kwa mujibu wa mtandao wa history.com umeeleza kuwa kiongozi (Kaisari) wa kipindi hicho

ASILI YA VALENTINE’s DAY Read More »

SERIKALI KUWEKEZA KIDIJITALI KUWAFIKIA WALIPAKODI WENGI ZAIDI ZANZIBAR.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dkt.Hussein Ali Mwinyi amesema Serikali itaendelea kuimarisha mfumo wa kodi ulio rahisi kuutumia kwa kuwekeza zaidi katika mifumo ya kidijitali na kuwafikia walipa kodi wengi zaidi pamoja na kuimarisha ofisi za kodi kila Mkoa na Wilaya zake Zanzibar.Rais Dkt.Mwinyi amesema hayo katika hafla ya Maadhimisho ya

SERIKALI KUWEKEZA KIDIJITALI KUWAFIKIA WALIPAKODI WENGI ZAIDI ZANZIBAR. Read More »