Matukio

VIJANA 13,700 JIJINI MBEYA KUNUFAIKA NA MRADI WA “SAFA”.

Taasisi ya Deutsche Stiftung Weltbevolkerung (DSW) Kwa kishitikiana na Mashirika mengine kama KUNE na HRNS wamepanga kuwafikia vijana 13,700 katika mradi wa SAFA ambao umeshanza kutekelezwa na utatekelezwa mpaka mwakani 2024. Vijana hao watanufaika na Elimu ya stadi za maisha,Elimu ya AFYA ya Uzazi Michezo na Burudani,Namna nzuri ya kupinga ukatili wa Kijinsia,kuwapa Elimu ya […]

VIJANA 13,700 JIJINI MBEYA KUNUFAIKA NA MRADI WA “SAFA”. Read More »

Mkuu wa Wilaya ya Ludewa, Mhe. Victoria Mwanziva amefanya ziara ya kimkakati ya ukaguzi wa Miradi ya Maji Wilayani Ludewa.

Akitembelea miradi mbalimbali DC Victoria amesema kuwa Lengo la ziara hii ni kuhakikisha kuwa Wana-Ludewa wanapata huduma ya Maji bora, safi, salama na yenye kutosheleza Sambamba na kuonesha kazi kubwa inayofanywa na Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan katika sekta ya Maji Ludewa.Aidha, katika ziara hiyo imethibitika kuwa Wilaya ya Ludewa inaendelea kutekeleza miradi saba

Mkuu wa Wilaya ya Ludewa, Mhe. Victoria Mwanziva amefanya ziara ya kimkakati ya ukaguzi wa Miradi ya Maji Wilayani Ludewa. Read More »

SHIRIKA LA WAKINA MAMA NA WATOTO FOUNDATION LAWAPA MKONO WA POLE WAATHIRIKA MBOZI.

Shirika lisilo la kiserikali la WAKINA MAMA NA WATOTO FOUNDATION TANZANIA Limeguswa na kutoa mchango wa vitu mbali mbali kama Sabuni,Unga pamoja na Chumvi vitu vyenye thamani ya shilingi 384,000/= kwaajili ya kuwa saidia waathirika wa Mvua kubwa ambayo iliambatana na upepo na hivyo kusababisha kuezuliwa kwa Nyumba zaidi ya 200 na kusababisha uharibufu wa

SHIRIKA LA WAKINA MAMA NA WATOTO FOUNDATION LAWAPA MKONO WA POLE WAATHIRIKA MBOZI. Read More »

TANESCO WAOMBA RADHI KUKOSEKANA HUDUMA YA MTANDAO WA MALIPO. (LUKU)

Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) Wamewaomba wananchi radhi kutokana na kukosekana kwa huduma ya upatikanaji wa mtandao wa malipo na hivyo kufanya wananchi kupata kadhia na usumbufu katika malipo na wananchi kukosa huduma. Shirika limesema jitihada za kurudisha huduma hiyo zinaendelea na linawataka wananchi kuvuta subla wakati utatuzi wa changamoto ukiendelea.

TANESCO WAOMBA RADHI KUKOSEKANA HUDUMA YA MTANDAO WA MALIPO. (LUKU) Read More »

RAIS DK.MWINYI AKUTANA NA MWAKILISHI WA UNDP TANZANIA

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi amekutana na Mwakilishi Mkazi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) Tanzania, Bw.Shigeki Komatsubara aliyefika kujitambulisha Ikulu Zanzibar tarehe:14 Desemba 2023. Katika mazungumzo yao wamegusia uhusiano na ushirikiano uliopo kati ya Zanzibar na UNDP pamoja na kusaidia miradi mbalimbali ya maendeleo,

RAIS DK.MWINYI AKUTANA NA MWAKILISHI WA UNDP TANZANIA Read More »

(RWA) KUJA NA MPANGO WA KUTOKOMEZA NDOA ZA UTOTONI.

Jukwaa la wanawake wa Vijijini (Rural Women Assembly) linalotekeleza uinuaji uwezeshaji  wanawake na kutokomeza unyanyuasaji wa kijinsia limekuja na mpango wa kutokomeza ndoa za utotoni ilikuweza kumpa zaidi nafasi binti aweza kutimiza ndoto na malango yake na hivyo kutengeneza jamii ama taifa la watu makini na uchumi imara. RWA ni jukwaa linalo fanya kazi katika

(RWA) KUJA NA MPANGO WA KUTOKOMEZA NDOA ZA UTOTONI. Read More »

TAASISI YA TULIA TRUST YATOA MSAADA WA KITI MWENDO, VENANCE ATUMA UJUMBE MZITO KWA DKT.TULIA ACKSON

Hii ni zaidi ya Upendo, mbio ya Bendera ya Upendo inayo kimbizwa na taasisi ya Tulia Trust ikibeba ujumbe wa Upendo, Mshikamano na Uwajibikaji imemfikia ndugu yetu Venance Enoss mkazi wa Kiwira wilaya ya Rungwe Mkoani Mbeya. Aidha pamoja na kupokea msaada huo Venance pamoja na wananchi wengine katika eneo la Kiwira wamemshukuru sana Dkt.

TAASISI YA TULIA TRUST YATOA MSAADA WA KITI MWENDO, VENANCE ATUMA UJUMBE MZITO KWA DKT.TULIA ACKSON Read More »

Spika Dkt. Tulia akabidhi misaada kwa waathirika wa mafuriko Hanang, Ampongeza Rais Samia.

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambaye pia ni Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU) Mhe. Dkt. Tulia Ackson leo tarehe 6 Desemba, 2023 ametembelea eneo lililoathirika kwa mafuriko na maporokoko ya tope na magogo Wilaya Hanang Mkoani Manyara na kukabidhi misaada ya bidhaa mbalimbali kwa waathirika wa mafuriko hayo. Bidhaa

Spika Dkt. Tulia akabidhi misaada kwa waathirika wa mafuriko Hanang, Ampongeza Rais Samia. Read More »