SERIKALI KUWEKEZA KIDIJITALI KUWAFIKIA WALIPAKODI WENGI ZAIDI ZANZIBAR.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dkt.Hussein Ali Mwinyi amesema Serikali itaendelea kuimarisha mfumo wa kodi ulio rahisi kuutumia kwa kuwekeza zaidi katika mifumo ya kidijitali na kuwafikia walipa kodi wengi zaidi pamoja na kuimarisha ofisi za kodi kila Mkoa na Wilaya zake Zanzibar.Rais Dkt.Mwinyi amesema hayo katika hafla ya Maadhimisho ya

SERIKALI KUWEKEZA KIDIJITALI KUWAFIKIA WALIPAKODI WENGI ZAIDI ZANZIBAR. Read More »

VIJANA 13,700 JIJINI MBEYA KUNUFAIKA NA MRADI WA “SAFA”.

Taasisi ya Deutsche Stiftung Weltbevolkerung (DSW) Kwa kishitikiana na Mashirika mengine kama KUNE na HRNS wamepanga kuwafikia vijana 13,700 katika mradi wa SAFA ambao umeshanza kutekelezwa na utatekelezwa mpaka mwakani 2024. Vijana hao watanufaika na Elimu ya stadi za maisha,Elimu ya AFYA ya Uzazi Michezo na Burudani,Namna nzuri ya kupinga ukatili wa Kijinsia,kuwapa Elimu ya

VIJANA 13,700 JIJINI MBEYA KUNUFAIKA NA MRADI WA “SAFA”. Read More »

Mkuu wa Wilaya ya Ludewa, Mhe. Victoria Mwanziva amefanya ziara ya kimkakati ya ukaguzi wa Miradi ya Maji Wilayani Ludewa.

Akitembelea miradi mbalimbali DC Victoria amesema kuwa Lengo la ziara hii ni kuhakikisha kuwa Wana-Ludewa wanapata huduma ya Maji bora, safi, salama na yenye kutosheleza Sambamba na kuonesha kazi kubwa inayofanywa na Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan katika sekta ya Maji Ludewa.Aidha, katika ziara hiyo imethibitika kuwa Wilaya ya Ludewa inaendelea kutekeleza miradi saba

Mkuu wa Wilaya ya Ludewa, Mhe. Victoria Mwanziva amefanya ziara ya kimkakati ya ukaguzi wa Miradi ya Maji Wilayani Ludewa. Read More »

SHIRIKA LA WAKINA MAMA NA WATOTO FOUNDATION LAWAPA MKONO WA POLE WAATHIRIKA MBOZI.

Shirika lisilo la kiserikali la WAKINA MAMA NA WATOTO FOUNDATION TANZANIA Limeguswa na kutoa mchango wa vitu mbali mbali kama Sabuni,Unga pamoja na Chumvi vitu vyenye thamani ya shilingi 384,000/= kwaajili ya kuwa saidia waathirika wa Mvua kubwa ambayo iliambatana na upepo na hivyo kusababisha kuezuliwa kwa Nyumba zaidi ya 200 na kusababisha uharibufu wa

SHIRIKA LA WAKINA MAMA NA WATOTO FOUNDATION LAWAPA MKONO WA POLE WAATHIRIKA MBOZI. Read More »

UGAWAJI WA VIFAA TIBA VITUO VITATU VYA AFYA JIMBONI KILOLO.

Serikali ya awamu ya sita ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inayoongozwa na Mhe. Samia Suluhu Hassan kupitia Bohari ya dawa (MSD Medical Store Department) imemkabidhi Mbunge wa Kilolo Mhe. Justin Lazaro Nyamoga vifaa tiba kwa ajili ya vituo vitatu vya Afya vya Ruahambuyuni, Ilula na Nyalumbu vyenye thamani ya zaidi ya TZS Milioni 600.

UGAWAJI WA VIFAA TIBA VITUO VITATU VYA AFYA JIMBONI KILOLO. Read More »

TANESCO WAOMBA RADHI KUKOSEKANA HUDUMA YA MTANDAO WA MALIPO. (LUKU)

Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) Wamewaomba wananchi radhi kutokana na kukosekana kwa huduma ya upatikanaji wa mtandao wa malipo na hivyo kufanya wananchi kupata kadhia na usumbufu katika malipo na wananchi kukosa huduma. Shirika limesema jitihada za kurudisha huduma hiyo zinaendelea na linawataka wananchi kuvuta subla wakati utatuzi wa changamoto ukiendelea.

TANESCO WAOMBA RADHI KUKOSEKANA HUDUMA YA MTANDAO WA MALIPO. (LUKU) Read More »

RAIS DK.MWINYI AKUTANA NA MWAKILISHI WA UNDP TANZANIA

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi amekutana na Mwakilishi Mkazi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) Tanzania, Bw.Shigeki Komatsubara aliyefika kujitambulisha Ikulu Zanzibar tarehe:14 Desemba 2023. Katika mazungumzo yao wamegusia uhusiano na ushirikiano uliopo kati ya Zanzibar na UNDP pamoja na kusaidia miradi mbalimbali ya maendeleo,

RAIS DK.MWINYI AKUTANA NA MWAKILISHI WA UNDP TANZANIA Read More »

MWENYEKITI CCM MBEYA AHIMIZA UMOJA, AWAASA WANACHAMA KUEPUKA MAKUNDI.

Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Mkoa wa Mbeya Ndg. Patrick Mwalunenge amewataka wanachama  wa Chama Cha Mapinduzi Jijini Mbeya kuungana na kuwa kitu kimoja ili kuleta maendeleao katika jiji la mbeya na Nchi kwa ujumla Mwalunenge amewataka wananchi hao kuwa na kundi moja tu ambalo ni kundi la Chama Cha Mapinduzi mkoa wa Mbeya. Mwalunenge

MWENYEKITI CCM MBEYA AHIMIZA UMOJA, AWAASA WANACHAMA KUEPUKA MAKUNDI. Read More »

(RWA) KUJA NA MPANGO WA KUTOKOMEZA NDOA ZA UTOTONI.

Jukwaa la wanawake wa Vijijini (Rural Women Assembly) linalotekeleza uinuaji uwezeshaji  wanawake na kutokomeza unyanyuasaji wa kijinsia limekuja na mpango wa kutokomeza ndoa za utotoni ilikuweza kumpa zaidi nafasi binti aweza kutimiza ndoto na malango yake na hivyo kutengeneza jamii ama taifa la watu makini na uchumi imara. RWA ni jukwaa linalo fanya kazi katika

(RWA) KUJA NA MPANGO WA KUTOKOMEZA NDOA ZA UTOTONI. Read More »